Psalms 144:13-15


13 aGhala zetu zitajazwa
aina zote za mahitaji.
Kondoo zetu watazaa kwa maelfu,
kwa makumi ya maelfu katika mashamba yetu;

14 bmaksai wetu watakokota
mizigo mizito.
Hakutakuwa na kubomoka kuta,
hakuna kuchukuliwa mateka,
wala kilio cha taabu
katika barabara zetu.


15 cHeri watu ambao hili ni kweli;
heri wale ambao Bwana ni Mungu wao.
Copyright information for SwhKC